Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Ttcl nilijaribu...nikienda kwetu mbagala tu apo sipati net..nkatupa simcard yaoTtcl 6GB na dakk 75 mtandao yote kwa 5000 ty kw mwez
Ttcl nilijaribu...nikienda kwetu mbagala tu apo sipati net..nkatupa simcard yaoTtcl 6GB na dakk 75 mtandao yote kwa 5000 ty kw mwez
Muhaya akinunua kitu shariti na watu wengine wajue.
Hapa unakuta una dakika mpaka unachanganyikiwa,niliangalia nikakuta kama dk 28000 haotel tu halotel plus 1500 mitandao yote.Unapiga tu simu,halotel kiboko kwa hilo.Sio unakutana na sijui jaza sijui..2000 kwa week unapewa dk 60 na MB10(Hizi Mb ukipiga chafya tu ya data zimeisha zote).Ukitaka kuifaidi hii, jazaa salio kwa halo pesa 10000 unapewa 3000 nyingne kama bonus. Unga hio ya 10000 kwa mwezi, ikatokea bundle limekata kabla unauwezo wa kutumia hiyo 3000 ukapata vifurushi vingine mfano 1500/=X2 cha week.
Pia kabla mwezi haujaisha unauwezo wa kuweka salio tena 10000 na zile dakika/Mb/Sms wanazi top up
Hahaha
Wewe unipeleke shule?Utakuwa MKURYA / JALUO SIYO SIRI. Rudi shule
mpk leo bado huduma ipo?Ttcl 6GB na dakk 75 mtandao yote kwa 5000 ty kw mwez
we umefukua kaburi la tokea septemba mwakajana!mpk leo bado huduma ipo?
Yuko hewanwe umefukua kaburi la tokea septemba mwakajana!
ukiwa unafukua kaburi piga hodi kwanza! ucje ukawa unauliza mtu kumbe na yeye yupo ndan ya kaburi
Habari zenu wadau..
Kwa anayejua ni mtandao gani hapa bongo wenye gharama nafuu ya bundle...
Nina line mbili, Halotel na Voda,... Nimekua nikiitumia Halotel kwa internet kwani nililinganisha na Vodacom nikagundua Halotel kuna kaunafuu... Sasa nimeongeza simu nyingine, so nataka line mpya kutoka mitandao mingine lakini iwe na unafuu wa gharama za vifurushi na yenye kasi,.. Naomba ushauri wenu.
Unapenda vya bure eeeeh!Subscribed.
Mm niko zangu natumia bidhaa za ndani za kitanzania Ttcl,nina lain ya chuo yaan n full gb maongezi usiseme.ila sasa vocha ndo shughuli kuzipata.Hapa unakuta una dakika mpaka unachanganyikiwa,niliangalia nikakuta kama dk 28000 haotel tu halotel plus 1500 mitandao yote.Unapiga tu simu,halotel kiboko kwa hilo.Sio unakutana na sijui jaza sijui..2000 kwa week unapewa dk 60 na MB10(Hizi Mb ukipiga chafya tu ya data zimeisha zote).
Upo Tanzania visiwani Mkuu?, maana Tanzania visiwani ndiko Zantel inapokubali.Tumia zantel kitu kina kasi mbaya
Line zao zote za sasa ni za chuo.
Sh. 500--- mb 500 wiki
Sh.1500--- 1.5GB wiki
Sh.10000--- 10.5 GB nwezi
Mkuu, toka nianze kutumia Halotel kwa upande Wa Mb na muda Wa maongezi sijawahi kujutia line ya Halotel kiukweli.Hapa unakuta una dakika mpaka unachanganyikiwa,niliangalia nikakuta kama dk 28000 haotel tu halotel plus 1500 mitandao yote.Unapiga tu simu,halotel kiboko kwa hilo.Sio unakutana na sijui jaza sijui..2000 kwa week unapewa dk 60 na MB10(Hizi Mb ukipiga chafya tu ya data zimeisha zote).
mie washanitibua nmetupa line yao hao halotel, Gb 6 kwa elfu 10? pumbafuMkuu, toka nianze kutumia Halotel kwa upande Wa Mb na muda Wa maongezi sijawahi kujutia line ya Halotel kiukweli.
Sema tu sina mashabiki wanaotumia Halotel ila huwa najikuta nina zaidi ya dk 29000 Halotel to Halotel na hizi za mitandao yote ndizo ninazofaidi maana nazitumia zenyewe.
Labda wanitibue ndipo nitakapowahama. Ila kwasasa sina mpango Wa kutoka hapa.
Mm niko zangu natumia bidhaa za ndani za kitanzania Ttcl,nina lain ya chuo yaan n full gb maongezi usiseme.ila sasa vocha ndo shughuli kuzipata.
Kasi yao ipoje na je mikoani wa hii huduma ya 4GTTCL wako vizuri wako na bei rahisi lakini pia kasi yake mpaka unapenda pesa yako inatumika kutokana na ubora wa huduma. View attachment 591891 View attachment 591891 View attachment 591892 View attachment 591893