Bundle za internet zenye gharama nafuu

Bundle za internet zenye gharama nafuu

kama una airtel

weka buku(1000) kwenye airtel money yako

kisha piga *150*60#
chagua namba 6(ofa kabambe)
then chagua 1
then chagua 3(uni)
alafu tena 1
unamaliza na kuingiza namba ya siri ya airtel money yako

UTAPATA
dakika 100 airtel-airtel
dakika10 mitandao mengine
sms 1000
GB 2

NB: utatumia ndani ya siku 3

enjoy
 
kama una airtel

weka buku(1000) kwenye airtel money yako

kisha piga *150*60#
chagua namba 6(ofa kabambe)
then chagua 1
then chagua 3(uni)
alafu tena 1
unamaliza na kuingiza namba ya siri ya airtel money yako

UTAPATA
dakika 100 airtel-airtel
dakika10 mitandao mengine
sms 1000
GB 2

NB: utatumia ndani ya siku 4

enjoy
N sku 3 mkuu
 
7baae8c6b3f2f38c670391a368169d47.jpg

Halotel ndio mtandao nafuu tanzania ikifuatiwa na airtel, voda na tigo kwa suala la internet wana ghali sana
 
TTCL wako vizuri wako na bei rahisi lakini pia kasi yake mpaka unapenda pesa yako inatumika kutokana na ubora wa huduma.
Screenshot_2017-09-19-21-41-45-1.png
Screenshot_2017-09-19-21-41-45-1.png
Screenshot_2017-09-19-21-42-05-1.png
Screenshot_2017-09-19-21-40-56-1.png
 
Tumia zantel kitu kina kasi mbaya

Line zao zote za sasa ni za chuo.

Sh. 500--- mb 500 wiki
Sh.1500--- 1.5GB wiki
Sh.10000--- 10.5 GB nwezi

Mtandao wao hausumbui
 
Back
Top Bottom