gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,572
BeiKama unaangalia unafuu na sio kasi ya mtandao basi hamia Airtel ofa zao ni nzuri ..
1.2 GB = 48 hrs
1 GB = siku saba
BeiKama unaangalia unafuu na sio kasi ya mtandao basi hamia Airtel ofa zao ni nzuri ..
1.2 GB = 48 hrs
1 GB = siku saba
mbona unaibiwa kwa buk2 hapo ukiongeza jero unapata gb4!
Ukitaka kuifaidi hii, jazaa salio kwa halo pesa 10000 unapewa 3000 nyingne kama bonus. Unga hio ya 10000 kwa mwezi, ikatokea bundle limekata kabla unauwezo wa kutumia hiyo 3000 ukapata vifurushi vingine mfano 1500/=X2 cha week.Halotel mwana chuo line 10000 unapata 10 GB per month anyway this fellas must pay me for pushin em business
embu nipe process mkuuMm natumia voda 2000mb 3000 nazaidi wiki
Naomba procedure unajiungaje mkuuMm natumia voda..3gb kwa shs 2000 tu kwa siku 5.
Hiki kitu unachotaka mkuu ni kigumu sana. Hata hao halotel na ttcl ni wapya hivyo bado wako na bei zao za kuingilia sokoni.
Hii mbona mie siipati natumia halotel mkuu au kunaprocedure siijui
Halotel ndio mtandao nafuu tanzania ikifuatiwa na airtel, voda na tigo kwa suala la internet wana ghali sana
*149*03# inakuja 1. dakika 2.Data then unachagua dataNaomba procedure unajiungaje mkuu
Hizi ni laini special za mwanachuo, naskia skuiz wanaziuza 10,000 sjui kweliHii mbona mie siipati natumia halotel mkuu au kunaprocedure siijui
Natumia TTCL wala sijutii kwanza 4G imetulia muda wote
Wana mawakala ila ofisini kwao watakupa melezo vizuriLine yake inapatikana kwa mawakala? Au mpak ttcl ofisini kwao
ofisini kwao watakupa melezo vizuri kama sehemu uliyopo ina uwezo wa 4GMtandao wao hausumbui
Nenda ofisini kwao watakupa melezo vizuriNmeipenda hii...vip 3g ake naweza ipata pia mkoani...nko mara
...sehemu nilipo 3g za network nyingine nazipata(tigo.airtel.vodacom)
ofisini kwao watakupa melezo vizuri kama sehemu uliyopo ina uwezo wa 4G
Hii ni line ya chuo tu sio wenye line zoteBando la Halotel la sh 9999 kwa mwezi sijalipatia mpinzani bado...GB 10, Dkk 80 mitandao yote....msioijua ikimbilieni..speed yake ndo balaa
Ttcl 6GB na dakk 75 mtandao yote kwa 5000 ty kw mwezBando la Halotel la sh 9999 kwa mwezi sijalipatia mpinzani bado...GB 10, Dkk 80 mitandao yote....msioijua ikimbilieni..speed yake ndo balaa