kama kuja waje wote... isipokuwa jk..nape..kinanna..mwigulu.. makamba.. sita..lusinde.. na Wanaofanana nao.. ikiwa ukawa watawakubali nahama chama naanzisha cha kwangu nipate ruzuku niendelee kusavaivu hapa mjini..
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!
kama kuja waje wote... isipokuwa jk..nape..kinanna..mwigulu.. makamba.. sita..lusinde.. na Wanaofanana nao.. ikiwa ukawa watawakubali nahama chama naanzisha cha kwangu nipate ruzuku niendelee kusavaivu hapa mjini..
Kumbe ndicho alichokwenda kusisitiza kule kanisani Tabora mgombea wenu kwamba walutheri wajiandae kuingia ndani ya safina!! Haya kama kwa udini huu tutafika sijui!!