Bundi huyooooo

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
296676_365952940149390_1835829283_n.jpg
 
ama kweli bundi la magamba...bila shaka atakua Nape Nnauye huyu................
 
I heard someone saying bundi ni ndege mzuri sana coz ana tabia ya kuwa-alert watu juu ya mambo mabaya yanatarajiwa kutokea lakini kinyume chake yeye anaonekana ndio mchimvi na 'mpika vifo'! Ndugu huyu Anatetea hoja yake kwa kusema kwamba, wakati wa Tsunami kule indonesia, kabla ya mafuriko ndege na wanyama wali-sense kinachokuja na wote wakakimbilia maeneo ya juu(extra sensory perception?)! Ni uwezo huo huo(alopewa na mungu) anautumia bundi ku-sense baya linalotarajia kutokea!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom