Bunda: Watangaza nia CHADEMA wapigana

Bunda: Watangaza nia CHADEMA wapigana

Ndoroobo kweli ww mleta mada...wapigane mpaka mtu alazwe hata kapicha hakuna na smart phone zilivyoo jaa mjini??...

Nawe ni kiroboto , upigiwe picha wewe kama nani. Unahiari ya kutokuamini au kuya amini yaliyoletwa, You don't pay anybody salary to take pictures for your satisfaction, pumba we
 
Ni kweli tuko kipindi cha hatari ya uchaguzi, Basi jitahidini kuleta habari zenye mantiki, ukweli na Ushahidi (Picha), Vinginevyo ni Uongo mtupu[/QUOTE nexus white kama huamini naomba umpigie mwana ukawa wa Bunda imuulize chanzo cha ugomvi ili uelewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom