Bunda tumeamua kuipiga CCM chini

Bunda tumeamua kuipiga CCM chini

Safi sana ndugu wananchi , huyo wasira aibu ameitaka mwenyewe tu , haiwezekani mtu mmoja ang'ang'anie ubunge kuanzia hatujazaliwa mpaka tunapata wajukuu , aibu ameitaka mwenyewe .
Tangu enzi ya Mwl yupo.
Utawala wa Mwinyi, yupo.
Akaja Mkapaakampokea, Mkapa alipoondoka akabaki yupo.
Akaja Kikwete akawa bado yupo.
Sasa JK anaondoka anataka abaki bado yupo!!!!! Ni noma
 
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Na wanakuja na hadithi hizo hizo mwaka huu. Ushauri wangu ni huu. Wakija na Rushwa, chukueni, kula. 25 Octoba Kura weka UKAWA.
 
Wassira ajiandae kuingia porini kumfuata mwenzake mwaka huu masisiem lazima tuyaondoe madarakani
 
Wasira mwaka huu itajilaumu maana hiyo ela anayofanyia kampeini afadhali angewasaidia jamaa zake kuliko kuzichoma moto maana ubunge atausikia kwenye luninga
 
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.

Na baada ya kututukana kwamba ss ni malofa
 
Niliwai kuandika kwnye ukurasa wangu wa fb kuwa wasira ana miaka zaidi ya 25 mfululizo akiwa mbunge lkn kashindwa kujenga hata choo cha shule huyo ha2fai kasababisha wilaya imekuwa masikin kuliko zote tanzania,mabadiriko ni mhimu mwaka huu,
 
Niliwai kuandika kwnye ukurasa wangu wa fb kuwa wasira ana miaka zaidi ya 25 mfululizo akiwa mbunge lkn kashindwa kujenga hata choo cha shule huyo ha2fai kasababisha wilaya imekuwa masikin kuliko zote tanzania,mabadiriko ni mhimu mwaka huu,

Mkuu lazima tumpige chini huyu mpenda usingizi
 
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.


[h=3]Twende na Dr JP Magufuli mpaka kieleweke 2015[/h]

11140281_898930126844661_569991442135980407_n.jpg


11244489_898930166844657_7319756641221879369_n.jpg


11924248_898930076844666_1586771319363140374_n.jpg


11940716_898930206844653_2407456014320017761_n.jpg


Viongozi wetu wote wanamuidhinisha na wanampigia Kura Mh. Magufuli
 
Back
Top Bottom