Mkuu sio miaka 25 umempunja alianza ubunge mwaka 1975mzee mbunge tangu miaka ana miaka 25. Bunda ndio wilaya ya mwishomwisho kwa mapata. Yaani inatumia kikubwa kuliko inachoingiza kwenye pato la taifa. Huu uwe mwisho wa kuchagua bendera na chama.
Tumemchoka kabisa kwani hakuna anachotufanyia zaidi ya maneno tu
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Malofa na Wapumbavu.....upepo wa Steven Wassira ni Noma.....wataisoma namba Akina Bulaya anazunguka na ma body guard sasa Mbunge wa Watu Ulinzi wa hivyo iweje....asilimia tisini Kura kwa Wasira safari hii
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Safi sana ndugu wananchi , huyo wasira aibu ameitaka mwenyewe tu , haiwezekani mtu mmoja ang'ang'anie ubunge kuanzia hatujazaliwa mpaka tunapata wajukuu , aibu ameitaka mwenyewe .