Bunda tumeamua kuipiga CCM chini

Bunda tumeamua kuipiga CCM chini

Mpige chini akamate adabu maan ccm wameishajiaminisha kuwa wao nchi hii ndiyo wenye haki kuila wengine no kwa nn? Piga chini mpe bibie bulaya angalau ana heshima na utu. Piiiiiposssss! Lowasa !mabadiliko na mabadiliko Lowa saaaa!
 
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
We lofa mbona unahangaika sana mara mkazi wa Bunda mara mkazi wa Mbeya,tukuelewe vipi Mmawia kwao Mtwara,acha kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga.
 
We lofa mbona unahangaika sana mara mkazi wa Bunda mara mkazi wa Mbeya,tukuelewe vipi Mmawia kwao Mtwara,acha kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga.

Siyo kosa lako akili zako kudumaa,hayo ni madhara ya elimu ya mulugo,ngiri wee
 
Mpige chini akamate adabu maan ccm wameishajiaminisha kuwa wao nchi hii ndiyo wenye haki kuila wengine no kwa nn? Piga chini mpe bibie bulaya angalau ana heshima na utu. Piiiiiposssss! Lowasa !mabadiliko na mabadiliko Lowa saaaa!

Wasira mwaka huu lazima aangukie puaaaaaaaa
 
We lofa mbona unahangaika sana mara mkazi wa Bunda mara mkazi wa Mbeya,tukuelewe vipi Mmawia kwao Mtwara,acha kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga.
Mfia nchi au mfia ufisadi?
 
Hivi uko bunda uko peke yako? Kila siku wewe ni chuki tuuu. Utadhani vikatio vyote vya wabunda unalala navyo. Kaa ukiota hivo hivo.
Na mimi ni wa Balili bunda, mzee wa gombe hatutaki hata kumsikia kabisaaa.
 
Na mimi ni wa Balili bunda, mzee wa gombe hatutaki hata kumsikia kabisaaa.

Tuungane kwa pamoja kumuondoa huyo mzee bungeni aende akamsaidie jaydee kuandaa diary
 
Fisadi ndiye unayempigie debe awe raisi wetu ili alipe madeni ya hela alizokuwa akichangiwa na marafiki zake akidhani CCM watamteua.

Lowasa ndiye prezidaa wa Tanzania wa hawamu ya tano,hutaki kanywe kimpumu
 
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.

Chadema Bunda wametimuana baada ya kumpitisha "mwana ccm" kugombea ilihali alishindwa kura ya maoni.
Ccm itapigwaje chini sasa na timu hiyo?
 
Chadema Bunda wametimuana baada ya kumpitisha "mwana ccm" kugombea ilihali alishindwa kura ya maoni.
Ccm itapigwaje chini sasa na timu hiyo?

Wana ccm mnaompigania wasira mwaka huu imekula kwenu,chaguo letu wana bunda ni kumchagua binti Bulaya
 
KUNA PICHA ZA WATU ZIMEWEKWA WAKITABASAMU HUMU ZINANITIA KICHEFUCHEFU. WAKATI WANANCHI WENGI WANATABIKA KWA UMASKINI!
Nitajua cha kufanya oct25
 
Back
Top Bottom