Tressa
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 954
- 1,046
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
wewe si mkazi wa bunda hâta kidogo,sijui unamdanganya nani.