Kwanza mpaka hapo mlipo mnatia aibu mpaka majimbo jirani yanawashangaa !!! Mnawakilsihwa na Mbunge mmoja miaka ypte hiyo ina maana hakuna mwingine zaidi yake.Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga ccm chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya ccm baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Kwanza mpaka hapo mlipo mnatia aibu mpaka majimbo jirani yanawashangaa !!! Mnawakilsihwa na Mbunge mmoja miaka ypte hiyo ina maana hakuna mwingine zaidi yake.
Inamaana mbunge wenu alikuwa ile mali asili kutoka Gombe ?Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Mkuu Mmawia kama muwakilishi wenu alikuwa ni mzee wa Gombe mnatakiwa abadilishwe mara mojaMkuu gombe ndio wapi huko?
Mkuu gombe ndio wapi huko?
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.
Sisi wakaazi wa bunda tumedhamilia kuipiga CCM chini kuanzia diwani,mbunge hadi rais hiyo ni adhabu kwa serikali ya CCM baada ya kutudanganya kutupatia maji safi na salama kwa muda wa zaidi ya miaka yoote ya uhuru.