mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
- Thread starter
- #21
Mkutano unaendelea na watu sasa wamefurika ile mbaya
Enyi Magamba msio na akili, hebu tuambieni; huyo mgombea wa CDM kuitwa Wasira amevunja sheria gani ya nchi? Mimi nina mtoto wa kiume, kwa kumu-admire Dr. Slaa, nimemwita Wilbrod Slaa. Jee nina kosa gani kisheria? Sio tu tunapelekana pelekana kama magari mabovu enyi Mizigo party.
Jaman huyo si mganga wa kienyeji,anagombea ili iweje?