Bulembo amtaka Lowassa aache kung’ang’ania siasa

Bulembo amtaka Lowassa aache kung’ang’ania siasa

Bulembo ndio nani?
Ndio kaibuka juzi baada ya kuteuliwa ubunge?
Muda wote alikuwa kajificha wapi?
 
Bulembo wewe utaishia hizo hizo nafasi za kutupiwa tu, huna ubavu wa kuchaguliwa, si unakumbuka Juma Ulole aivyokugaragaza udiwani kule Kijitonyama? Umezawadiwa ubunge wa viti maalum kula tu kimya kimya .
 
Bulembo na mwanae tunawalusha pale bungeni ana shida gani?
 
Bulembo :"wapinzani wataruhusiwa kutumia barabara, maji Lakini sio kwenda ikulu "
BILA KATIBA MPYA, TUME HURU, BILA UPINZANI KUWA NA DEMOKRASIA YA KWELI NDANI YA VYAMA VYAO BASI HIO KAULI NI KAMA INA UKWELI
MY TAKE CHADEMA CHINI YA MBOWE Imehadaa watanzania. Unaweza kudhani ni kitu kidogo walikosea walivyobadili Gia Lakini ukweli ni kwamba watanzania baadhi wenye akili nzuri wamewadharau Sana... Imefika Muda tuwaambie ukweli.. Lowasa Hana nguvu za kuwa mgombea rais wala mbowe.. Inahitaji mtu msafi mwenye uwezo wa kujenga hoja... Kiukweli rais magufuli Pamoja na mapungufu Yake mengi Ila Sura na mwili wake tu umependezea na umefit kuwa mkuu WA nchi... Haya ni maoni yangu tu binafsi... Mojawapo ya vitu vya kuiga toka CCM ni PAMOJA NA upatikanaji wa mgombea maccm wako na demokrasia Sana nadhani Africa yote CCM ipo kwenye list ya VYAMA venye Mchakato huru na wazi
Nikubaliane na wwe kuwa tume huru ndio muarobain ila hayo mengine naona kma sijakuelewa bado...
Hyo demokrasia ya ccm ni ipi wakati hta mwenyekiti hajawahi kugombea mtu zaidi ya moja na ukichukua fomu inakuwa kesi yaani rais tu ndo anaweza kuwa mwenyekiti huoni ni kukandamiza demokrasia?? Pia mchakato wa kupata mgombea urais ndani ya ccm kuna malalmiko mengi sana ya watu kuingia na majina na hata waliioonekana kukubalika bado walokatwa juu juu ndo unaita demokrasia?? Kwanni wasingepeleka hayo majina mkutano mkuu tujue mbivu na mbichi zaidi walitaka kulazimisha mtu flani ndio awe mrithi wa jk demokrasia hyo ni ipi??
Sawa unadai lowasa hana nguvu je ninkwanni basi mnambanoa asizunguke nchi nzima kma anavyofanya makada wa ccm kwa mgongo wa serikali??? Kma hana nguvu ilikuwaje akapata kura milion 6?? Je huoni kma angekuwa hana nguvu ccm wangempuuzia tu kma walivyompuuzia cheyo ama mrema??
Haya ukisema chadema wamedharaulika unatumia kigezo kipi?? Maana mara ya mwisho maoni yalitolewa na wananchi kupitia sanduku la kura na tuliona wote jinsi ambavyo upinzani ulizoa kura nyingi kuliko wakati wowte ule tokea uhuru zaidi ya asilimia 40 (NEC) sasa kma wangetudharau si wangetukataa hyo 2015??

Mkuu acha kujitia moyo hta mwenyekiti wenu anajua jinsi upinzani unavyoubalika ndio maana anajaribu kutudhoofisha ila kma anajua wananchi wanatudharau asingehangaika na makesi kila siku kwa wabunge wetu sijui sheria za mtandao sijui kuzuia mikutano NEVER.....we kma unaona lowasa hana nguvu ruhusu mikutano weka tume huru tukutane 2020
 
Bulembo wewe utaishia hizo hizo nafasi za kutupiwa tu, huna ubavu wa kuchaguliwa, si unakumbuka Juma Ulole aivyokugaragaza udiwani kule Kijitonyama? Umezawadiwa ubunge wa viti maalum kula tu kimya kimya .
Tehe tehe jamani lina mwanya halafu limezawadiwa viti vya magauni-- liambie lichunge sana aisee!!
 
kwani ye ndio anawaruhusu au................?
Huo ndo msimamo wa ccm kwamba hata upinzani ukishinda hakuna kwenda ikulu. Kauli kama hiyo imetolewa na wana ccm. Halafu huyo mzee alivyo hamnazo anaongelea chaguzi za urais na ubunge wakati yupo kwenye kampeni ya udiwani.
 
Bulembo ipo siku vizazi vya ccm vitakumbuka maneno ya wazazi wao kama bulembo.
 
Akavishauri vikongwe ndani ya ccm waachane na siasa, lowasa hakuhusu bana.
 
Even you Bulembo of all the people???? Kweli siasa za Tanzania ni ngumu. Bulembo umesahau huo uenyekiti wa jumuia ya wazazi uliupataje? Wewe kweli leo hii wa kumsema Lowassa vibaya? Ndoo maana naziogopa sana siasa za nchii hii. Ni kawaida kwa watoto kukata matiti na vidole vya mama zao wazazi.
Mungu ampe uwezo Lowassa wa kushikiria msimamo wake wa kutojibu watu kama akina Bulembo na kuwa mstahimilivu. Ikitokea Lowassa akasema mbwaimbwai na mimi namwaga ugali. Watu watatamani kusiche walau usiku uwe na masaa 18 mchana 6 ili wajifiche.
 
Bulembo :"wapinzani wataruhusiwa kutumia barabara, maji Lakini sio kwenda ikulu "
BILA KATIBA MPYA, TUME HURU, BILA UPINZANI KUWA NA DEMOKRASIA YA KWELI NDANI YA VYAMA VYAO BASI HIO KAULI NI KAMA INA UKWELI
MY TAKE CHADEMA CHINI YA MBOWE Imehadaa watanzania. Unaweza kudhani ni kitu kidogo walikosea walivyobadili Gia Lakini ukweli ni kwamba watanzania baadhi wenye akili nzuri wamewadharau Sana... Imefika Muda tuwaambie ukweli.. Lowasa Hana nguvu za kuwa mgombea rais wala mbowe.. Inahitaji mtu msafi mwenye uwezo wa kujenga hoja... Kiukweli rais magufuli Pamoja na mapungufu Yake mengi Ila Sura na mwili wake tu umependezea na umefit kuwa mkuu WA nchi... Haya ni maoni yangu tu binafsi... Mojawapo ya vitu vya kuiga toka CCM ni PAMOJA NA upatikanaji wa mgombea maccm wako na demokrasia Sana nadhani Africa yote CCM ipo kwenye list ya VYAMA venye Mchakato huru na wazi
yaani kwa akili yenu makorokoro mliyofanya mnadhani watu ni wajinga watawapigia kura.
 
Bulembo :"wapinzani wataruhusiwa kutumia barabara, maji Lakini sio kwenda ikulu "
BILA KATIBA MPYA, TUME HURU, BILA UPINZANI KUWA NA DEMOKRASIA YA KWELI NDANI YA VYAMA VYAO BASI HIO KAULI NI KAMA INA UKWELI
MY TAKE CHADEMA CHINI YA MBOWE Imehadaa watanzania. Unaweza kudhani ni kitu kidogo walikosea walivyobadili Gia Lakini ukweli ni kwamba watanzania baadhi wenye akili nzuri wamewadharau Sana... Imefika Muda tuwaambie ukweli.. Lowasa Hana nguvu za kuwa mgombea rais wala mbowe.. Inahitaji mtu msafi mwenye uwezo wa kujenga hoja... Kiukweli rais magufuli Pamoja na mapungufu Yake mengi Ila Sura na mwili wake tu umependezea na umefit kuwa mkuu WA nchi... Haya ni maoni yangu tu binafsi... Mojawapo ya vitu vya kuiga toka CCM ni PAMOJA NA upatikanaji wa mgombea maccm wako na demokrasia Sana nadhani Africa yote CCM ipo kwenye list ya VYAMA venye Mchakato huru na wazi

Kauli kwamba wapinzani wataruhusiwa kutumia barbara, maji na siyo kwenda ikulu... ni uthibitisho wa uwezo wa mtu. Barabara zinajengwa kwa kodi za wananchi, miundo mbinu ya maji inajengwa kwa kodi za wananchi na misaada ya wafadhili, ni haki ya msingi kwa raia yoyote kuitumia.
 
Ukweli ni ukweli japo unauma. Wana CCM wanamjua Lowasa vizuri kuliko wana CDM/UKAWA. Mkitaka mumfahamu vizuri, amna namna, ni lazima muwaulize kwani kule ndo aliko lelewa. CCM wanapo sema apumzike wana maana yao!!.
 
Ukweli ni ukweli japo unauma. Wana CCM wanamjua Lowasa vizuri kuliko wana CDM/UKAWA. Mkitaka mumfahamu vizuri, amna namna, ni lazima muwaulize kwani kule ndo aliko lelewa. CCM wanapo sema apumzike wana maana yao!!.

Kwani wameshampa sumu ya kumuuua tartibu? Hebu fafanua.
 
Back
Top Bottom