Bulembo ametia fora

Bulembo ametia fora

Amenikumbusha Mbunge mmoja miaka ya 1970 mwanzoni, walienda ziara Uingereza na kamati yake basi aliporudi akaulizwa umeyaonaje maendeleo ya kule tofauti na hapa? Akajibu " kwa kweli wenzetu wako mbali sana, kule mtoto wa miaka mitano anazungumza English sio mchezo bwana! Kwa kweli kwa elimu wako mbali sana"
Hahahahaha mbona bongo mtoto wa kizaramo miezi minne tu anaongea kizaramo vzur tu
 
Me mwenyewe nilidhani umemaanisha [burembo na usukuma wake sawa na hakuna kitu kichwani]

Baadae ya kutulia nikaelewa (burembo akili zake sawa na yuke jamaa wa shinyanga msukuma ambawo wote sawa na ubongo usio na akili)
Kwani nimesema bulembo msukuma?
 
OKW BOBAN SUNZU 15000946 said:
Akihojiwa na mwandishi wa habari pale ikulu wakati wa kuapishwa kwa makatibu wakuu Bulembo amesifia uteuzi.Amenichekesha aliposema Magufuli kachagua vichwa eti kwa kuwa kuna katibu mkuu mteule amekula kiapo bila kusoma karatasi.Haaah haah kumbe ambao wanasoma kiapo sio vichwa
Karudie kusikiliza vizuri yale mazungumzo pale alimaanisha kuwa mtu ameshusha kiapo bila kusoma, kwa tafsiri kuwa ni mlemavu wa macho. Kumbuka pia aliongelea na uteuzi wa watu walemavu wengine nje na yule mlemavu wa macho

Akihojiwa na mwandishi wa habari pale ikulu wakati wa kuapishwa kwa makatibu wakuu Bulembo amesifia uteuzi.Amenichekesha aliposema Magufuli kachagua vichwa eti kwa kuwa kuna katibu mkuu mteule amekula kiapo bila kusoma karatasi.Haaah haah kumbe ambao wanasoma kiapo sio vichwa
 
Inaonekana wewe ni mzaliwa wa 1990s wakati tunamwita Sumaye Zero ulikuwa hujazaliwa.

Sumaye ndio muanzilishi wa viongozi wa siasa kuanza kusoma kwa kuungaunga kwenye mitandao
Kama hujuikitu nyamza!!!Sumaye alikuwa na diploma akiwa WM alipomaliza akaenda havard kusoma ssasa sikuelewi kuunga unga kupi?Mkuu wa kaya mwenyewe alianza na dip then akaenda kufanya bachelor so nae kaungaunga,Kama hujui kitu nyamaza.waliounga unga ni watu wa darasa la saba then unasikia ana masters
 
achana nae mkuu huyo lazima tu atakuwa ni wa kaskazini tu hivyo bado anaweweseka na kichapo kikali ambacho CCM imewafanyia huku MFALME NJOZI wao waliyemtaka awe Rais akianguka vibaya na sasa hata wale waliokuwa wakimsapoti wanamgeuka na kumcheka. kweli nimeamini bora uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
Hakuanguka kaangushwa au unafumba macho kujifanya huoni
 
Akihojiwa na mwandishi wa habari pale ikulu wakati wa kuapishwa kwa makatibu wakuu Bulembo amesifia uteuzi.Amenichekesha aliposema Magufuli kachagua vichwa eti kwa kuwa kuna katibu mkuu mteule amekula kiapo bila kusoma karatasi.Haaah haah kumbe ambao wanasoma kiapo sio vichwa
Mkuu unajichekesha bila ya sababu lakini mwaka huu mnakazi kweli spindi ya magufuli imewaaacha mdomo wazi pole mlikosea sana kufungamana na mafisadi.
 
Back
Top Bottom