IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,739
- 7,087
Unajua kichapo ambacho ccm imepata huku kaskazini ccm ilishakufaachana nae mkuu huyo lazima tu atakuwa ni wa kaskazini tu hivyo bado anaweweseka na kichapo kikali ambacho CCM imewafanyia huku MFALME NJOZI wao waliyemtaka awe Rais akianguka vibaya na sasa hata wale waliokuwa wakimsapoti wanamgeuka na kumcheka. kweli nimeamini bora uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.