Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,246
- 12,789
vipi biashara ya hotel huko, wateja wapo, I mean kuna wageni wa kutosha au competition ikoje?
wageni wapo sana tu,ushindani wa kibiashara ndio mkubwa kwani watu wengi wamewekeza kwenye sekta hii.
vipi biashara ya hotel huko, wateja wapo, I mean kuna wageni wa kutosha au competition ikoje?
Kuna mabadiliko chanya yanaendelea baada ya pigo kubwa la ugonjwa wa ukimwi uliosambaratisha mkoa wa Kagera. Wana Kagera wameanza tena kujivunia mkoa wao. Kufikia 2020 tutakuwa tunazungumzia mmoja wa mikoa yenye maendeleo makubwa ktk Tanzania.
Ulivyotaja hicho kiwanja cha ndege umenikumbusha mbali sana. Kwani wakti mmoja nikiwa wizara ya fedha muungano nilisafiri kutumia ndege ya Jeshi la wananchi kutoka Dar nikiwa naenda Bukoba kikazi. nakumbuka rubani alikuwa Meja Lwena na ndege ilikuwa HS. hakika katika kutua alimanusura atuingize ziwani kwani kulikuwa inanyesha mvua nyingi sana hapo Bukoba.
Kweli siusahau uwanja huo
By the way vipi Nsenene?