ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Hawa ni wanafunzi wa shule ya mwingi Kashai wakitekeleza agizo la mkuu wa kaya,, KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE" nini maoni yako?
Watoto hawa wanahama kutoka shule ya kashai kuelekea Tumaini baada ya madarasa yao kuanza kudidimia kutokana na Tetemeko la ardhi Tar. 10.10.2016
Watoto hawa wanahama kutoka shule ya kashai kuelekea Tumaini baada ya madarasa yao kuanza kudidimia kutokana na Tetemeko la ardhi Tar. 10.10.2016