Hela ya nini mkuu dadavua, mwasheria au chai kwa wahusika?hiyo kesi ndogo sana kama ana hela
Soma vizuri, ushaambiwa kesi ni ya mwaka 2016Uonevu mbona Wa wazi sana hapo mkuuu .. Toka wamalize mtihan had I Leo wiki mbili tuu ...sasa hiyo kesi imekimbizwa kwa kasi ya 4G.
Hivi hamsomagi nyuzi mkaelewa? Kesi ni ya mwaka 2016 mtoto alihitimu kipindi hicho. Hapa hela ilitafutwa weeeee, dogo kakosa hela ya rushwa wakamfunga.Huyo jamaa si angesubiri matokeo yatoke. Haraka zake zimemgharimu.
SureAkate rufaa tu hiyo kesi haina mashiko.
Waambie mod wasiwe waretrieve nyuzi zilizopita msomi.Hivi hamsomagi nyuzi mkaelewa? Kesi ni ya mwaka 2016 mtoto alihitimu kipindi hicho. Hapa hela ilitafutwa weeeee, dogo kakosa hela ya rushwa wakamfunga.