Wameshaanza kujenga buj khalifa na palm toweeHii Dubai ya Bukoba imefikia wapi?
🤣 🤣 🤣 🤣Unajua unaweza ukawa unasimuliwa kuhusu wahaya kupenda sifa ambazo hawana.
Hivi unawezaje kuweka post kama hiyo bila kumalizia na neno kama ' kidding" au jokes"!?
Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo home.
Katika kuonyesha kuitikia wito wana Bukoba wa Dar es Salaam na ughaibuni wameahidi kuchangia jumla ya trilion 3 kila baada ya miezi 3 ili kuboresha litakalokuwa jiji la NEW BUKOBA. Bukoba ndo home.
Tangu serikali iibe trilioni 15, watu wanaona trilioni ni pesa kidogo sana, maana wanadhani serikali iliiba ikaweka kwenye mabegiNshomile katika ubora wenu.
Kwa kupenda masifa tu hajambo, unaijua trillioni 3 lakini??