Bukima imeripotiwa kuangukia mkononi mwa M23

Bukima imeripotiwa kuangukia mkononi mwa M23

Yaani Huyu aliye leta habari hii anaandika kama mtoto
Serikali iko kimia mkuu! M23 ni tawi la RPF na kiongozi wao mkuu ni Kanali Makenga Ramadhan amerudi uwanjani tena baada ya kusambaratishwa na JW kipindi fulani. Sasa Saamia anatakiwa afanye jambo tena kuwaokoa Wakongo
 
wanajeshi wetu watoke huko haraka, waawachie wacongomani wapambane wenyewee, wacongoman wajinga sana na hawana shukrani kabisaa
 
Kabila Jr ndio alikuwa nafuu huyu Mzee kafeli sana
 
Hata kama ungekuwepo mpaka leo, unadhani jamii za hapo mashariki zingekubali kujiunga na kuwa sehemu ya nchi iliyowavamia na kuwafanya wakimbizi.

Kuna ripoti ya UN imeituhumu nchi jirani kuwasaidia waasi wa M23, nchi ile ile inayotuhumiwa kila mara.
idea ilikua .,kule mashariki iwe kivu republican,huo ni mkakati wa muda sn

Kn nchi zilitakiwa kugawanywa kutokana na changamoto zao, mfn .iliyokua sudan, nigeria,drc na ...

Sudan imewezakanika hz zingine ni km unavyosikia
 
Duh!
Ajaribu vipi. Huoni anachukua kwa mbinu isiyohitaji hayo unayoyasema wewe?

Kwani ni lazima aingie kwa mabunduki ndiyo ujue kachukua?

Hao M23 wanaosumbua huko DRC usidhani walianza kwa mabunduki. Sasa wanatumia mabunduki kwa sababu wamejiona wanayo nguvu ya kuyatumia.

Kwani unadhani walianzia wapi; si ilikuwa kimya kimya hadi walipoona wanazo nguvu za kudai eneo la nchi ambalo walilivamia kimya kimya miaka kadhaa iliyopita, na hakuna aliyestuka?
Kabila mzee aliingia mkataba na rwanda na Uganda,kuwamegea mashariki ya kongo wapate kulima maana rwanda hapalimiki,alipoingia akawageuka baada ya tz kumtia kiburi
 
Labda Kama kachoka kunywa maziwa
EeeenHeeee Heeee!

WaTanzania kwa majigambo hatuwezekani.

Sasa wewe huoni anachukua bila ya jasho?

Unasubiri risasi ndio ujue kachukua?

Wakati mwingine tuwe tunajipa muda wa kufikiri mambo mazito kama haya kabla ya kubandika mipasho kama hii uliyoweka hapa.

Hiki kiinchi kidogo kina ajenda, na kinatekeleza ajenda hiyo kwa njia mbalimbali katika eneo hili.
 
Huku hawezi japo wamepenyeza Raia wengi saana
"Kupenyeza raia wengi" ndiyo "kuweza" huko.

Hilo eneo la raia wengi ndio mwanzo wa kulifanya eneo hilo kuwa sehemu ya nchi yao, hata kama mipaka itabaki kuwa ilivyo sasa.
Hili ndilo watu wengi wasilolielewa vizuri.
 
EeeenHeeee Heeee!

WaTanzania kwa majigambo hatuwezekani.

Sasa wewe huoni anachukua bila ya jasho?

Unasubiri risasi ndio ujue kachukua?

Wakati mwingine tuwe tunajipa muda wa kufikiri mambo mazito kama haya kabla ya kubandika mipasho kama hii uliyoweka hapa.

Hiki kiinchi kidogo kina ajenda, na kinatekeleza ajenda hiyo kwa njia mbalimbali katika eneo hili.
Na unadhani tumelala,tunashangilia tu Simba na yanga!?..unamuacha ujue nyendo na dhamira zake,muda ukifika unafanya maamuzi,ukimfuata panya atakuongoza shimoni kwake
 
Na unadhani tumelala,tunashangilia tu Simba na yanga!?..unamuacha ujue nyendo na dhamira zake,muda ukifika unafanya maamuzi,ukimfuata panya atakuongoza shimoni kwake
Kwa hali hii hii iliyopo sasa humu nchini, au pengine una matumaini ya baadae? Ni kipi hasa kinachokupa matumaini wewe ambacho wengine hatukioni?

Hapa naona unajipa matumaini, pengine kutokana na hali ulivyoijua huko siku za nyuma, zamani kidogo. Nikukumbushe, hiyo ni historia, imekwishapita hiyo!

Siyo sasa, na huko tuendako, kama hali itaendelea kuwa kama inavyokwenda sasa usiweke matumaini.

Nchi hii inabadilika sana, hata wananchi wake tumekuwa kama tumepuliziwa na pepo baya la kulaza akili zetu.
 
Kwa hali hii hii iliyopo sasa humu nchini, au pengine una matumaini ya baadae? Ni kipi hasa kinachokupa matumaini wewe ambacho wengine hatukioni?

Hapa naona unajipa matumaini, pengine kutokana na hali ulivyoijua huko siku za nyuma, zamani kidogo. Nikukumbushe, hiyo ni historia, imekwishapita hiyo!

Siyo sasa, na huko tuendako, kama hali itaendelea kuwa kama inavyokwenda sasa usiweke matumaini.

Nchi hii inabadilika sana, hata wananchi wake tumekuwa kama tumepuliziwa na pepo baya la kulaza akili zetu.
Kuna idara ya ujasusi TISS na jeshini pia Kuna kitengo hicho..unamaanisha hawafanyi kazi
 
Kuna idara ya ujasusi TISS na jeshini pia Kuna kitengo hicho..unamaanisha hawafanyi kazi
Kazi za hawa watu zinategemea mambo mengi yatokanayo na hali nzima ya nchi.

Kama uozo umetapakaa sehemu zote usitegemee hizi ulizotaja hapa ndiyo ziwe imara na tofauti na kwingine.

Wakuu wa huko wanateuliwa, au siyo? Weye unadhani kama wateuliwa wanashika nafasi zao bila ya 'merit', sehemu hizo zitaendelea kuwa imara kama unavyodhani wewe?

Uozo ukianzia kichwani huenea kwingine kote.
 
Back
Top Bottom