Bukima imeripotiwa kuangukia mkononi mwa M23

Bukima imeripotiwa kuangukia mkononi mwa M23

Wakongo tangu wamfukuze Mbelgiji hawajaishi kwa amani. Rasilimali zote walizonazo zinanufaisha wachache. Afadhali wangemuacha Mbelgiji atawale na ajenge miundo mbinu. Leo Kongo ingekuwa sawa na Afrika Kusini.
 
Wakongo tangu wamfukuze Mbelgiji hawajaishi kwa amani. Rasilimali zote walizonazo zinanufaisha wachache. Afadhali wangemuacha Mbelgiji atawale na ajenge miundo mbinu. Leo Kongo ingekuwa sawa na Afrika Kusini.
Kuna watu humu JF walisema nchi za kiafrica zilikua na kiherehere kutafuta Uhuru mapema,Bora zingetawaliwa na Wazungu mpk huko 1990's ili ziwe Kama S/Africa tu.
 
aichukue mara ngapi? Kaanza kwa kuchukua baadhi ya viongozi wa kisiasa, angalia wafugaji,,,,, then taratibu ataichukua kabisa
Unaweza ukawa sahihi; lakini siku moja atajitangazia moja kwa moja bila kificho tena!

Huyo bwana nauona mwisho wake kuwa mbaya sana. Kila jirani ni mikwaruzano tupu!
 
Tatizo ndugu yangu kiswahili kama kinakusumbua maana nakerwa hata kuendelea kusoma andiko lako
Uandishi wake unaonesha si mtanzania ,inawezekana pia ni mkongo ila amejitahidi kufikisha ujumbe kwa kadiri ya uwezo wake.
 
Wamechagua wakati muafaka sana. Saa hivi dunia na UN wako bize na Ukraine na Tension ya Taiwan. Hakuna mtu wa kuwaza juu ya M23 na watu wengine wa misituni.
 
Si ajaribu tu tuone itakuaje wauni watavyo mgombania kama mpira wa kona
Duh!
Ajaribu vipi. Huoni anachukua kwa mbinu isiyohitaji hayo unayoyasema wewe?

Kwani ni lazima aingie kwa mabunduki ndiyo ujue kachukua?

Hao M23 wanaosumbua huko DRC usidhani walianza kwa mabunduki. Sasa wanatumia mabunduki kwa sababu wamejiona wanayo nguvu ya kuyatumia.

Kwani unadhani walianzia wapi; si ilikuwa kimya kimya hadi walipoona wanazo nguvu za kudai eneo la nchi ambalo walilivamia kimya kimya miaka kadhaa iliyopita, na hakuna aliyestuka?
 
Kwani mama ndyo anaingia field si ajaribu tu tuone
Mkuu 'lugonopanija98', ni wazi wewe ni mgeni na haya mambo kutokana na jinsi unavyohoji hapa.

Yaani hata huelewi nafasi ya mtu kama Maza Mizinguo katika jambo zima kama hilo?
 
16554476778113.jpg
 
Back
Top Bottom