kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Hivi hili kundi la m23 limetoka wapi hasa?
Na kiongozi wao mkubwa ni nani?
Na silaha nzito wanatowa wapi?
Haya ni maswali ambayo na jiuliza Sipati jibu.
Leo hii hawa M23 wamekuwa wakifanya chochote wanacho jisikia ndani ya INCH ya Kongo walichukuwa mji wa bunagana.
Serekali ikapiga kimia.
Wanafanya wanavyo taka serekali wanakaa kimia.
Sasa hivi wameuteka mji mwingine.
Na mpaka sasa serekali hawaja ongeya chochote.
Mmmmmm ni Mungu tu na maombi
[ATTACH=
Ninacho kiomba kikitokea kuna watu nitawabatiza kwa moto wa jehanam
Maana kwa asira hii dah wewe acha tu
Na kiongozi wao mkubwa ni nani?
Na silaha nzito wanatowa wapi?
Haya ni maswali ambayo na jiuliza Sipati jibu.
Leo hii hawa M23 wamekuwa wakifanya chochote wanacho jisikia ndani ya INCH ya Kongo walichukuwa mji wa bunagana.
Serekali ikapiga kimia.
Wanafanya wanavyo taka serekali wanakaa kimia.
Sasa hivi wameuteka mji mwingine.
Na mpaka sasa serekali hawaja ongeya chochote.
Mmmmmm ni Mungu tu na maombi
Ninacho kiomba kikitokea kuna watu nitawabatiza kwa moto wa jehanam
Maana kwa asira hii dah wewe acha tu
