Bujibuji na Pastor

Bujibuji na Pastor

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,775
Reaction score
9,202
Bujibuji alikua anapita kando kando ya mto mara akamwona pastor anawabatiza,
akaamua nae kujiunga kwenye mstari.ilpo fka zamu yake.akazamishwa mara ya
kwanza. ..akaulzwa umempokea yesu! Akajibu hapana........akazamshwa tna mara ya pili.
Akaulzwa umempokea yesu! Akajibu hapana......akazamishwa mara ya 3.akaulizwa
umempokea yesu..akajibu.. Hv unauhakika alizama hapa! Au unanisumbua tu?
 
Hahahahaha

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Ha ha ha ha ha ha kama ni mimi namwambia alizama hapa kazana utampokea halafu namzamisha tena kama dakika mbili hivi nione atasema nini
 
Back
Top Bottom