Buguruni: Sherehe yageuka msiba


Nafikiri haujui unachokitetea, Mimi ni mzoefu sana kwa shughuli za uandishi wa habari za uchunguzi zaidi ya miaka 10 sasa, nilikuwa nisafiri kuelekea Dodoma siku ya jumatatu sijaenda kwani niliamua kubaki ili nikamilishe report hii ya kiuchunguzi. Ukweli unayejiita Dr Aluta huifahamu Buguruni na uhalifu unaofanywa(uvunjwaji wa sheria na maadili). Nimebahatika kufanya mahojiano ya ana kwa ana na ndugu,jamaa na rafiki wa Hamisi. Pia nimechunguza maeneo yote korofi na kufanya mahojiano ya kina na wahusika na kuridhika pasipo shaka Buguruni ni sehemu maarufu kwa uhalifu kama wizi,ujambazi,ukabaji,chabo,madawa ya kulevya,bangi,utumiaji na uuzaji wa pombe haramu,ukahaba,chuma ulete n.k. Mimi sijasimuliwa na mtu habari hiyo bali nimeifuatilia mpaka mwisho wake. Kwa kweli wanaokaa Buguruni chukueni tahadhali .
 
by Dr Aluta;
ninachotetea jamaa hakuwah kuwa panya road.


Dr Aluta, wewe umejuaje hakuwa panya road??

Au wewe ni mwanachama wa panya road!

cc suleyman kova.
 
Last edited by a moderator:

hongera mkuu
 

we mwandish feki, unamfuatilia mtu hata jina kamil humjui. eti umeacha shughul zako, kweli!!?
 
Sherehe wiki nzima halafu tunalalamika ni kwanini sisi ni masikini.

Imaaaaagineeeee.....
Halafu siku mbili karudi home ndoa imemshinda....
Au ana papuchi ya dhahabu...lol..wat is so special..kupigia watu kelele tu na hapo ngono lzm itawale kwa wakeshaji
 
by Dr Aluta;
ninachotetea jamaa hakuwah kuwa panya road.


Dr Aluta, wewe umejuaje hakuwa panya road??

Au wewe ni mwanachama wa panya road!

cc suleyman kova.

mkuu mi siongei kishabik wala cwafaham hao panya road
 
Last edited by a moderator:
Majirani bana, wakiwa wanaambulia pilau na sambusa basi watamsifia mtu hata kama ni jambazi....njaa mbaya sana, JAMBAZI, MUUZA UNGA NA PANYA RODI WOTE WAHALIFU TU!

hiv kama ningemsif ningethibitisha kama ye jambaz acha akil za viroba.
 
ninachotetea jamaa hakuwah kuwa panya road.
Mimi sijui tafsri ya panya road lakini huyo unayemzungumzia yaani Hamisi Kumba alikuwa kibaka huko buguruni,sema baada ya baba yake mzee kumba kufariki ndio kidogo alipunguza matokeo ya wizi.Long time kidogo alikoswa kuchoma moto huko huko buguruni.
 
Haya mapanya road yalifika mpaka huku tabata yakiwa na kila aina ya silahaa hasa za kijadi.
 
# Dr.Aluta Endelea Nastory Mkuu Sisi Watu Wahuku mikoani Tunakufuatilia Achana Nawatu Wa Dar Wajuaji Sana!

Mkuu mbona Dr amemaliza kuwa mshkaji alipigwa risasi supermarket SA na alikuwa jambazi
 
Mimi sijui tafsri ya panya road lakini huyo unayemzungumzia yaani Hamisi Kumba alikuwa kibaka huko buguruni,sema baada ya baba yake mzee kumba kufariki ndio kidogo alipunguza matokeo ya wizi.Long time kidogo alikoswa kuchoma moto huko huko buguruni.

hauko mbal na ukwel, jamaa alikua mtu wa matukio. ila hakutaka kuchomwa moto.
 
Haa haaa ila alikuwa jambazi? Kuna watu mnavipaji vya kuchekesha

mkuu hiv panya road na jambazi wako sawa? tena ujambaz hafanyii bongo. ila panya road harakat zao ni ndan ya nchi. sasa connection iko wap?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…