Gari kufika speed 400km/h ,hakuna ya sababu ya Barbara kuwa ndefu, ni suala la technolojia tùu,tunaona Gari za F1unakuta umbali wa mita 200 au 300 kitu kinakanyagwa unashangaa speed mita inasoma 360 ,Lewis anakugongea mpaka 410 na umbali mdogo tuu,hivyo Bugatti kugonga 500km/h si ajabu
,