Budget.

C.john

New Member
Jun 17, 2011
2
1
hivi unaweza ukawa na kauli iliyoenea nchi nzima mfano "KILIMO KWANZA" halafu budget inapangwa 3.4% ya budget nzima ktk kilimo,we kama mtanzania walionaje hili..................?
 
hivi unaweza ukawa na kauli iliyoenea nchi nzima mfano "KILIMO KWANZA" halafu budget inapangwa 3.4% ya budget nzima ktk kilimo,we kama mtanzania walionaje hili..................?

Mimi kama Mtanzania wala sitaki kulifikiria hili kwani yako mengi mno kama haya na ukitaka kuyafikia yote utakuwa kichaa na hospitali ya Mirembe haina madakitari atanitibu nani. Peoples power is the only solution
 
The problem na Budget ni walau basi hizo walizotaja zifanye kazi ilolengwa...
Hapo wahusika wanasubiri cha juu (sijui niseme cha kati...) kwa hamu katika sekta zao...
 
Nimekubali kwamba viongozi kama waziri mkuu anayedai posho ili agawie wanaomuomba anapenda vitu vya kati!
 
Hakuna kilimo kwanza hapo mkuu ni maneno kwanza tu yaliyopo. Kilimo kwanza kingekuwa kinatekelezwa usingesikia sehemu fulani ya tz kuna njaaa!
 
suala ni kuwa hata hicho kidogo kikifanya kazi effectively we will see changes. Mtu asikudanganye wizara ngulli kama afya, miundombinu na elimu ziwe sawa na kilimu. Think.
 
Tatizo la nchi hii more than hizo funds hata uweke kiasi gani kama hakuna uwajibikaji na uzalendo hakuna kitu
 
Mipango mingi, less utendaji, huo ndo ugonjwa wetu, hata ingekuwa 80% kilimo, usingeona improvement, tukiacha kujali matumbo binafsi hiyo mipango tutaona matunda yake. Hata aje mchumi gani kutupangia bajeti kwa Utendaji huu ng'o hatutopata maendeleo.
 
Back
Top Bottom