yanini waiweke kwani ulipoona ya mwaka jana kuna mabadiliko gani mpaka sasa??kila mwaka wanataja bajeti lakini je ninini kinachobadilika??maana mishahara palepale,maendeleo palepale,kodi palepale!!!kiujumla umuhimu wa hz bajeti naonaga tu zinaongelewa lakini hazisaidii kitu kituy labda wakenya ndio wanafaidi!