mku
Member
- Mar 27, 2011
- 88
- 9
Ni hari ya kusikitisha sana hasa kiuchumi nchi inavyoaanza kuchumia tumbo baada ya kuwekeza kwenye kuindeleza. Huu ni uchumia tumbo kabisa hasa unaopoona budget ya 2011/2012 ya 11.9 tr/- out of which 7.3tr/- is meant for recurrent votes na 4.5tr/- eti ndo imewekwa kwa ajili ya maendeleo ( Daily News | TANZANIA advised to raise mining tax). Hili japo mie si mwanauchumi najua kuna wanachumi hapa watanisadia ni khali inayoashiria kuwa nchi hii imefirisika kama alivyosema Mh. Zitto. Mkullo kwa moyo wake wa uchumia tumbo uliotukuzwa na serilkali ya chama cha magamba (CCM) anajitapa kwa mbwembwe za utaifa kuwa ni hari ya hatari kuanika uozo wa serikali kwa wahisani eti watakoma kutusaidia. Wakuu hii si huruka ya CCM ya kuficha ugonjwa na kusubiri kifo kiwaumbue?. Uchumia tumbo huu wanauchumi utatutoa kweli mahari tulipo?