BUCHA LA NYAMA

BUCHA LA NYAMA

Mdusi94

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2017
Posts
4,477
Reaction score
4,224
Habarini members ,poleni na swaumu na qaresma , allah awafanikishe kipind hiki kitakatifu.

Back to topic , baada ya kufanya utafiti nimegundua biashara ya kuuza nyama ya ng'ombe inaeza nipunguzia maumivu ya Tozo , ila bahati mbaya sina uzoefu na hii biashara hivyo nlihitaji msaada wenu hasa kweny kujua mahitaji muhimu ili niweze kufungua bucha la nyama ya ng'ombe , kama utaona uwanda huu wa pamoja haukupi uhuru bas katibu pm unipe elimu zaid .

Location : Arusha
Bucha : Nyama , Samaki na Kuku
Kuanza : mapema baada ya ramadhan...

Mbarikiwe sana na Ahsanteni.
 
Back
Top Bottom