C Cashman JF-Expert Member Jun 8, 2018 2,296 3,967 Jan 14, 2024 #1 Nimeona washiriki walioimba wimbo wa Kidumu wameimba kwa kutofautiana kwa maelekezo ya mwalimu. Halafu baadae mnawahukumu kwa performance! Kwa ujumla leo washiriki wanafanya hovyo hovyo tu. Sioni hata mtu bora mashindano haya
Nimeona washiriki walioimba wimbo wa Kidumu wameimba kwa kutofautiana kwa maelekezo ya mwalimu. Halafu baadae mnawahukumu kwa performance! Kwa ujumla leo washiriki wanafanya hovyo hovyo tu. Sioni hata mtu bora mashindano haya
Depal JF-Expert Member Nov 26, 2018 47,166 188,672 Jan 14, 2024 #4 Top gear said: Unaongelea nini mtoa mada? Click to expand... Mtoa mada anazungumzia vitu flani hivi vinapatikana kwenye king’amuzi cha startimes tu.
Top gear said: Unaongelea nini mtoa mada? Click to expand... Mtoa mada anazungumzia vitu flani hivi vinapatikana kwenye king’amuzi cha startimes tu.