Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Yule kocha wa zamani wa kikosi cha senegal aliyekipeleka fainali ya mataifa afrika 2002 na robo fainali ya kombe la dunia bruno metsu amefariki dunia leo kwa maradhi ya kansa ya tumbo.. Source magazeti ya leo ufaransa