Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
kila siku unapreach watu wasioane na ushindwe!!!!...usisahau wewe upo leo as a product ya watu wawili pamoja!..ningependa kujua r'ship ya wazazi wako ikoje...you sound km mtoto wa mamdogo vileee....
Kwani kuzaaa au kuzaliwa lazima wazazi wawe wameoana? Wee vipi wewe? Hivi hujui siku hizi kuna watoto wanazaliwa kwenye ma test tube na ma petri dish? ushamba kitu kibaya sana....