Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
You know what Soulmate?................I always ask myself what would I do, how would I cope without your wisdom.
I count myself blessed to be closer to you!
Kama si wewe JF, ningekuwa doomed mie
Mtoa mada kusema kweli it is not easy. Kama alivyosema Mbu inakubidi kujipanga haswaa! Mimi ilinichukua muda mpaka kufikie uamuzi wa LIFE HAS TO GO ON WITHOUT HIM. Thanx to JF members who have been very supportive on this! I just feel strong to myself kuwa siku hizi ninawezakuta missed call zake na nisibother kumcall back! kuwa anawezakuja kwangu getini na kumwona mwanae without me kuchungulia kwenye dirisha ah! ninajisifu nimepiga hatua kubwa sana aisee! hadi mwenyewe anashangaa!!
...lol...soulmate, jamaa akinipulizia dawa ya mbu jijue umehusika kwenye mauaji haya!