British PM - "Half of all the tea drunk in the UK comes to us from Kenya"

Jamaa amenunua viwanda worth Tzshs 138bilion! :D Kenya wakulima wa chai huwa wanapeleka majani chai yao kwenye viwanda ambavyo wanamiliki wao kupitia co-operative zao. Kwa wakulima large scale kama David Lang'at na mashamba yake ya Koisagat Tea Estates viwanda huwa ni vyao, ndani ya mashamba yao. Infact kuna sheria ambayo inawazuia wakulima kupeleka majani chai yao kwenye viwanda ambavyo sio vya co-operative yao. Sasa wakulima wa Tz wana afueni gani? Maanake kupeleka majani chai yao kwenye viwanda vya watu binafsi, wakiwemo wazungu, na nyang'au, ni utumwa. Kampuni za kigeni zipo pia(multinationals), kama Finlays na mashamba ambayo wanalima huwa ni leased kwao na GOK, kwa miaka kadhaa. Output ya mashamba yote makubwa, ya makampuni pamoja na ya wazawa ni >20%.
LOL all cooperative stuff you just mentioned are like going to the 🚻 in Tanzania, not only tea but almost all cashcrops have their well established cooperatives and laws of conduct, hilo la kiwanda cha billion 138 baki nalo wewe na hao waliouziana sababu hiyo hata kichaa ukimumdanganya atajua tu hizo fix
 
Sale No. 42 of 26th October, 1992 is fondly remembered as the sale the Mombasa Tea Auction went international by conducting a most successful US dollar auction in accordance with Kenya Government Policy as per Exchange Control Circular No. 5/92/13 of 15/10/92. Although there were a few teething problems, the system entrenched itself within a short while. This is a big step which neither India, the largest producer of tea nor Colombo, the biggest auction in the world, have managed to achieve to-date. All sales are held under the self-regulating rules and regulations of the EATTA which ensure fair play. Trade is between members. Auction sales are numbered on an annual basis starting with Sale No.1 on the first Monday in January and ending with sale 50 or 51 in December.
You have a long way to go and many issues to deal with before you can compare your tea open air market with the mombasa tea auction.
the smuggled Tanzanias tea by the name of Kenyas in the market is huge more than the actual Kenyas tea
 
Sasa kwa taarifa yako Mufindi Tea and Coffee ni kampuni ya kawaida sana na uzalishaji wake wa wastani hadi kidogo zipo kampuni kubwa Rungwe, Luponde ,Brooke Bond, Lugoda,Kilima,Wakulima Tea,Usambara, Chivanjee Msekela Tea Factories,tatepa, Ngwazi, Ambangulu, Chivanjee Tea Factory etc tuna viwanda zaidi ya 15 vya chai ambazo zote tutauza chai yake mnada wa Dar huyo mkenya wenu achukue tu kachai hako kidogo kuleta Mombasa ila lazima tuwalize ngoja tumalize uchaguzi tunahamisha mnada na mabenchi tunang'oa kabisa mpaka mnyooke jinga sana term hii lazima muielewe bongo kwamba sio ya kuchezea....Na Malawi Rais wao tushaongea nae chai yake atakuja kuuzia mnada wa chai wa Dar na bandari ya Bongo itakuwa primary kwa products za Malawi
Mufindi Tea factories zenyewe zinamilikiwa na wakalenjin wa Kericho,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magu na serikali yake hadi atoke mtakuwa mmenyooka...
Hizi hadithi za alinacha tumezoea kutoka kwenu, hizo taarifa za mwaka wa 2018. Sio mara ya kwanza tumewaskia mkiwa na mipango ya 'waking up the giant', ila kila mkiamka mnaangukia pua. Haya mambo yanahitaji kushirikisha ubongo sio kuyaendesha kwa chuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
the smuggled Tanzanias tea by the name of Kenyas in the market is huge more than the actual Kenyas tea

In 2018, Kenya was the world's largest exporter and producer of black tea, with a total export value of USD $1,355,994,000 in packings over 3 kilograms.
Much of the tea grown in Kenya is processed using the crush, tear, curl method, making it suitable for use in blends popular in most black-tea markets, including India, Britain and North America. CTC tea has a homogeneous taste and a strong generic, bold "tea" flavor and is the base of most Indian tea blends as well as a significant portion of breakfast teas.

Kenya, the world’s biggest exporter of black tea, expects production of the leaves to rise about 20% by the end of the decade, as farmers harvest from new bushes, according to the industry regulator.

Output is projected to jump to 500,000 tonnes in 2020 from a projected 412,000 tonnes in 2017, after a drought damaged plants in most growing areas, said Samuel Ogola, head of the Tea Directorate. Most regions in Kenya received below 75% of their seasonal long-term average between March and May, according to the nation’s meteorological department.
 
Back
Top Bottom