Bring Back Our Money


Ulitaka upewe umeme wa bure? si kaolewe kama mimi, hata sijui umeme unanunuliwa saa ngapi.
 
Jitahidi kwanza basi ujue kinachoongelewa hapa, kama uko karibu na waliohusika na uchotaji huu si ukae kimya? Unaboa sana!

Ulitaka upewe umeme wa bure?

mbona swali jepesi sana hili linakuwa gumu kwako?

Au ulifikiri zile kampuni zilizokupatia umeme wakati unashida ya umeme zilikuletea sadaka?
 
Ulitaka upewe umeme wa bure?

Si uolewe tu kama mimi, sijui hata umeme unanunuliwa saa ngapi, utapata umeme wa bure.

=> Sbb umeolewa, unafikiria kwa mak.al.io...yapo wazi, so definitely u won't know gharama ya umeme, waache tunaofikiria kwa ubongo sahihi tuchangie...ur thinking tigo ward...!!"
 
Ulitaka upewe umeme wa bure? si kaolewe kama mimi, hata sijui umeme unanunuliwa saa ngapi.


==> Coz of ur short sighted, sio hujui gharama ya
umeme kisa umeolewa...UR PAYING THROUGH UR MA.KALIO ...ur booty is ur umeme, so COZ OF UR DWARFISM....BRAIN MYOPIA...U WON'T KNOW UR PAYING ANAOTHER WAY BACK...!!!👌👌👌👌👌
 
Our Money must be brought back!
Supporting criminals on political base is the highest degree of immorality, irresponsibility! Stop it.
 
naona saa 8 baada ya kupigwa chini uwongozi chadema naona kaamia huko ili atafute kiki ya kutokea mwambien ata potea katika ramani ya siasa ni bora hakajenge chama kwao
 
Ulitaka upewe umeme wa bure?

Si uolewe tu kama mimi, sijui hata umeme unanunuliwa saa ngapi, utapata umeme wa bure.

Wewe umeolewa au unaishi na mwanaume tu akutimizie haja zako?
 

Chademaphobia inakusumbua hivi umezalishwa watoto wangapi?
 
Mlera mada ameleta mada nzuri tu na kwa watu wanao jibu kistaarabu humu ndani tunajifunza mengi tu, kila mtu ana kitu anacho fahamu na ni vizuri kuchangia. Ufisadi upo kwa nguvu tu hapa nchini, ndani ya ccm na hata hao viongozi wengine wa vyama vya upinzani nao pia walisha chota ya kutosha tu na sijasikia hata mmoja aliesema mimi narudisha nilicho kichukua ''well well hakuna atakaye diriki kusema hivyo''!!
Na kwa hao wasio jibu au kuandika kistaarabu ni vizuri mka waacha tu, hakuna haja ya kuwajibu kwani ukimuongelesha asiokua na akilie hamtaelewana mpaka kesho au milele. Labda kuna siku watajifunZa baada wao kuona wamekua ignored.
 
yan watz tushazoe burebure tu asa watu wamelipwa pesa zao mnawaita mafisadi yan cc wabongo sijui tukoje

Pendolyimo bwana, tehe.. kama kawaida yako dada tangu upo JF kwa ajili ya IPTL tu na si zaidi ya hapo na rohoni kwako unajua ni nini unachokifanya. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki mama na azidi kukupa uhai ili uzidi kuwatetea watanzania wanyonge wasizidi kudhulumiwa na manyang'au.
 
hivi mnaijua aishi hoteli baba yake mbowe alikuwa na mali nyingi kuliko mnavyodhani kusema mtu anategemea hela za Bilicanas ni ushamba mkubwa na kutoka kwenye mada lo fanya uchunguz kidogo kabla haujapost
 
=> Sbb umeolewa, unafikiria kwa mak.al.io...yapo wazi, so definitely u won't know gharama ya umeme, waache tunaofikiria kwa ubongo sahihi tuchangie...ur thinking tigo ward...!!"


By FaizaFoxy

Ulitaka upewe umeme wa bure?

 
hivi mnaijua aishi hoteli baba yake mbowe alikuwa na mali nyingi kuliko mnavyodhani kusema mtu anategemea hela za Bilicanas ni ushamba mkubwa na kutoka kwenye mada lo fanya uchunguz kidogo kabla haujapost

Alizipata wapi? Nae alikuwa mtumishi wa umma?
 

By FaizaFoxy

Ulitaka upewe umeme wa bure?

Si uolewe tu kama mimi, sijui hata umeme unanunuliwa saa ngapi, utapata umeme wa bure.
 
Mzee Tupatupa safari umeamua.Ngoja niunge mkono hoja "BRING OUR MONEY BACK"
 
Rudisheni pesa zetu.
Nyie ma interahamwe!
 
Wewe umeolewa au unaishi na mwanaume tu akutimizie haja zako?


By FaizaFoxy

Ulitaka upewe umeme wa bure?

Tafuta na wewe mwanamme wa kuishi nae atakutimizia haja zako na utapata umeme wa bure.

lakini hao IPTL hawatoa umeme wa bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…