Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,945
- 67,564
Picha hizi ni baada ya tukio la leo kule Bungeni!!













Utakwenda jelaHuyu Baba J.s.a bure kabisa
Nini tofauti kati ya uhuru wa kuropoka kama unavyouita wewe na Ombwe la uongozi?Mnatakiwa mfahamu kuwa Rais Jasiri aliekubali na kuvumilia kusikia asiyopenda kastaafu miezi saba iliyopita!
Mkipewa uhuru wa kuropoka mnasema kuna Ombwe la uongozi mara Rais dhaifu.
Yaani mimi nafurahi sana ninavyoona wapinzani mnapata kibano murua. Na lazima ukawa wanyooke kabisa, na lazima safari hii mchapwe sana na Dr Tulia maana ndiyo Mungu wenu.Huyu Baba J.s.a bure kabisa
Sasa kwa nn mpate tabu hiyo yote wakati mna mamlaka ya kufuta vyama hivyo na mkabaki wenyewe? Hata hivo najua uwezo wako, you are too down to quote me!Yaani mimi nafurahi sana ninavyoona wapinzani mnapata kibano murua. Na lazima ukawa wanyooke kabisa, na lazima safari hii mchapwe sana na Dr Tulia maana ndiyo Mungu wenu.
Jela hajajengewa mbuziUtakwenda jela
What if kama nipo jela mpaka sasa hivi?Utakwenda jela
Nimekuelewa mkuuWhat if kama nipo jela mpaka sasa hivi?
Hii vita inazidi hii.?!!Hii vita ni Kali sana , sioni namna CCM inaweza kushinda!..! Hapa Demokrasia irudishwe tu!
Mzee Pinda alikuwa na kamsemo chake "HAKUNA NAMNA NYINGINE TENA!"
Mbona wewe hukumtuma mkeo aje kuropokwa Ila umewahi kuja kutokwa na povu pumzika mwagize akawambie hao NyumbuNyumbu wanalalamika kuwa Tanzania hamna uhuru Wa kutoa maoni ,sasa hapo kwenye TV Msigwa anafanyaje??
Hivi dunia ya Leo yenye, Facebook, whatsap, jamii forum, magazeti kibao, Redio kibao, TV kibao utawezaje kumzuia MTU kukosoa na kutoa maoni yake??
Nyumbu hata hili hamjui??
Au kwenu chadema ili utoe maoni na kukosoa ni mpaka uandamanishe na uwashindishe juani watoto wa wenzio??
Basi kwenye hayo maandamano muwe mnatanguliza wake zenu na watoto wenu na sisi raia tutashiliki.
Yeeah ,kweli Jk was a democratic leader ,we gonna miss him alotMnatakiwa mfahamu kuwa Rais Jasiri aliekubali na kuvumilia kusikia asiyopenda kastaafu miezi saba iliyopita!
Mkipewa uhuru wa kuropoka mnasema kuna Ombwe la uongozi mara Rais dhaifu.
Nyooo...!!! Tema mate mkuu,huku kuna heroes behind the keyboards,tukisimamishwa hadharani,utatuonea hurumaTatizo ni kuwa, haya yote ni humu jf tu. Tutoke nje ya box siku moja tu. Tusimame pale barabarani salenda bridge kwa saa moja tu