Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Ikumbukwe kuwa huyu mshtakiwa tu (mtuhumiwa
Maana yake anaweza akawa amefanya makosa kweli au Lah, wenye maamuzi ya mwisho huwa ni Mahakama.
Nimeona katika mitandao mbalimbali mtuhumiwa kuwekwa picha na tuhuma yake, mfano ya kubaka kuku.
Kumbukeni huu ni uzalilishaji.
Leo hii mimi niwe mtuhumiwa wa kubaka kuku alafu mkaweka shtaka langu na picha yangu katika mitandao, baada ya upelelezi kukamilika mahakama inakuja na jibu kuwa sikuhusika na tukio hilo maana narudi mtaani sasa mtaani ambako picha zangu zishasambaa mitaani kuwa mimi ni mbaka kuku
JE, HII NI SAWA?
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Maana yake anaweza akawa amefanya makosa kweli au Lah, wenye maamuzi ya mwisho huwa ni Mahakama.
Nimeona katika mitandao mbalimbali mtuhumiwa kuwekwa picha na tuhuma yake, mfano ya kubaka kuku.
Kumbukeni huu ni uzalilishaji.
Leo hii mimi niwe mtuhumiwa wa kubaka kuku alafu mkaweka shtaka langu na picha yangu katika mitandao, baada ya upelelezi kukamilika mahakama inakuja na jibu kuwa sikuhusika na tukio hilo maana narudi mtaani sasa mtaani ambako picha zangu zishasambaa mitaani kuwa mimi ni mbaka kuku
JE, HII NI SAWA?
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️