Course Coordinator1
JF-Expert Member
- Mar 20, 2025
- 520
- 1,041
Lengo la Trump ni kudhoofisha nguvu ya Urusi ili amalize vita Ukraine.Mzuka Wana Jamvi!
Hule umoja uchwara wa kiuchumi BRICS ukiongozwa na Russia, China, South Afrika ikijumuisha mataifa mengine uchwara kama Pakistan wamsaidie Ayatollah sasa kiuchumi.
Wanachekesha sana eti walianzisha BRICS kumkomoa Marekani. Wenyewe tu njaa licha ya rasilimali walizonazo.
😅🤣😂😅🤣😂🤣😂
adriz de Mafwele
China anafaidika Venezuela
Urusi anafaidika Venezuela
Cuba anafaidika Venezuela
Iran anafaidika Venezuela
China anamsaidia Urusi kukwepa vikwazo vya ULAYA NA MAREKANI
Irani anamsaidia Urusi ndege zisizo na rubani kupigana vita Ukraine
Ikiwa Irani itaanguka ,ina maana Urusi atakosa msaada wa kijeshi na ataingia katika mazungumzo ya kumaliza vita.
Mzinguko huo BRICS ukidhoofishwa dunia itakaa na amani