BRICS confirms 159 countries will adopt new Global Payment System (GPS), effectively isolating the U.S. Dollar

BRICS confirms 159 countries will adopt new Global Payment System (GPS), effectively isolating the U.S. Dollar

Hata Roma hawakuamini kama inaenda kudondoka kama dollar, endeleeni kukariri hivyo hivyo
Wishful thinking, $$ haitaangushwa kwa maombi km ya mwamposa! Haijajengwa kwa vikao km vya brics imeundwa kwa jasho na damu na imechimbiwa mizizi mirefu haing’olewi kwa vikao vya kichawi
 
Ukisoma komenti nyingi humu ndio utajua nchi hii Ina watu wanaojifanya wajuaji kupitiliza lakini hamna chochote vichwani mwao.
Hii ndio maana inaonesha watanzania tumezidiwana wakenya kwa mambo mengi mno.
Achilia wakenya tunaweza kua tumezidiwa hata na Wanyarwandakwa kufikiri.

Unakikita bado kinakaa kwa wazizi au wakubwa zake,ama bado kimepanga,kipo hapa hapa Tanzania ambayo inaagiza Hadi toothpick kutoka nje,Michele na sukari kutoka nje,nguo kutoka nje,vipodozi,midoli ya kuuchezea watoto na Kila kitu,Tena kutoka huko huko kwenye nchi 159 zinazotaka kujiunga na Mifumo ya BRICS.
Aisee hii nchi ngumu sana.
Unakuta kijiMtanzania chenzangu kinaidhara BRICS na nchi zilizounda umoja huo.
Wakati hicho kijimtu Kiko VICOBA ambayo hata haikuundwa Tanzania.
VICOBA ni village Cooperative banking hii ilianzishwa Asia.
Sasa najiuliza hicho kijiMtanzania kinachoiponda BRICS kinajiona kina akili kuliko wachumi wa nchi zote 159 zinzotaka kutumia Mifumo hiyo ya BRICS.?
Kinajiona kina akili kuliko wachumi wa china, Urusi,Brazil,India na south Africa.
Aisee Tanzania Ina binadamu ambao hawapatikani sehemu yoyote hapa duniani.

Kwanza Iko hivi,
Mimi sijali kama Mifumo huu utafanikiwa au hautafanikiwa.
Mimi ninachozipongeza nchi za BRICS ni kupambana kujitoa kwenye manyanyaso ya Marekani.
Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kusimangwa au kunyanyaswa na mtu juu ya huduma Fulani halafu ukaendela kua mpole TU badala ya kutafuta njia mbadala za kujinasua.
Hiyo kwa BRICS ni hatua kubwa mno.
Halafu kinachofuata ni kuboresha njia hiyo mbadala hatua kwa hatua Hadi itakapokaa vizuri.
Tuchukue mfano kwa Urusi.
Baada ya Urusi kuwekewa vikwazo watu walitaka Putin,Lavrov na waziri wa fedha wa Urusi waende Washington wakampigie magoti Biden.
Aisee Mungu aendelee kuzibariki nchi za BRICS.
Kwa kawaida mwanzo siku zote hua ni mgumu Mifumo huu utatoboa na BRICS imeshatoboa.
 
It's a kind of journalism,and in journalism you've to acknowledge the source
I know why you are demanding the source:you do not like the information.Source hii hapa anyway.
It is a very accurate and authentic source owned by a former high ranking CIA official.He gets his intel information from his former colleagues in the CIA.
 
I know why you are demanding the source:you do not like the information.Source hii hapa.It is a very accurate and authentic source owned by a former high ranking CIA official.He gets his intel information from his former colleagues in the CIA.
Mi mbona nimeweka hiyo habari humuhumu baada ya msemaji kusema alinukuliwa vibaya,si nchi bali ni participants, najua ipo
 
Ukisoma komenti nyingi humu ndio utajua nchi hii Ina watu wanaojifanya wajuaji kupitiliza lakini hamna chochote vichwani mwao.
Hii ndio maana inaonesha watanzania tumezidiwana wakenya kwa mambo mengi mno.
Achilia wakenya tunaweza kua tumezidiwa hata na Wanyarwandakwa kufikiri.

Unakikita bado kinakaa kwa wazizi au wakubwa zake,ama bado kimepanga,kipo hapa hapa Tanzania ambayo inaagiza Hadi toothpick kutoka nje,Michele na sukari kutoka nje,nguo kutoka nje,vipodozi,midoli ya kuuchezea watoto na Kila kitu,Tena kutoka huko huko kwenye nchi 159 zinazotaka kujiunga na Mifumo ya BRICS.
Aisee hii nchi ngumu sana.
Unakuta kijiMtanzania chenzangu kinaidhara BRICS na nchi zilizounda umoja huo.
Wakati hicho kijimtu Kiko VICOBA ambayo hata haikuundwa Tanzania.
VICOBA ni village Cooperative banking hii ilianzishwa Asia.
Sasa najiuliza hicho kijiMtanzania kinachoiponda BRICS kinajiona kina akili kuliko wachumi wa nchi zote 159 zinzotaka kutumia Mifumo hiyo ya BRICS.?
Kinajiona kina akili kuliko wachumi wa china, Urusi,Brazil,India na south Africa.
Aisee Tanzania Ina binadamu ambao hawapatikani sehemu yoyote hapa duniani.

Kwanza Iko hivi,
Mimi sijali kama Mifumo huu utafanikiwa au hautafanikiwa.
Mimi ninachozipongeza nchi za BRICS ni kupambana kujitoa kwenye manyanyaso ya Marekani.
Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kusimangwa au kunyanyaswa na mtu juu ya huduma Fulani halafu ukaendela kua mpole TU badala ya kutafuta njia mbadala za kujinasua.
Hiyo kwa BRICS ni hatua kubwa mno.
Halafu kinachofuata ni kuboresha njia hiyo mbadala hatua kwa hatua Hadi itakapokaa vizuri.
Tuchukue mfano kwa Urusi.
Baada ya Urusi kuwekewa vikwazo watu walitaka Putin,Lavrov na waziri wa fedha wa Urusi waende Washington wakampigie magoti Biden.
Aisee Mungu aendelee kuzibariki nchi za BRICS.
Kwa kawaida mwanzo siku zote hua ni mgumu Mifumo huu utatoboa na BRICS imeshatoboa.
Hongera sana mkuu,"Mass Formation Psychosis" bado haijakuathiri,you are still 'yourself,' keep it up.Unajitambua mkuu,well done.
 
AI chatgpt

Kabla ya Vita vya Pili vya Dunia, mfumo wa fedha wa kimataifa ulikuwa tofauti sana na ulivyo leo. Hakukuwa na fedha moja iliyoongoza dunia kwa njia ile ile ambayo dola la Marekani linavyofanya leo. Badala yake, mfumo ulikuwa na vipengele kadhaa, na fedha mbalimbali zilikuwa na ushawishi mkubwa katika maeneo tofauti:

1. Mfumo wa Dhahabu:

• Mfumo huu ulikuwa unatumika katika nchi nyingi zilizoendelea.

• Fedha za nchi zilikuwa zimeunganishwa na dhahabu, maana yake thamani ya fedha ilikuwa inategemea kiwango cha dhahabu kilichohifadhiwa na serikali.

• Hii ilikuwa inatoa uthabiti fulani katika biashara ya kimataifa, kwani watu walijua kwamba fedha zao zinaweza kubadilishwa na dhahabu.

• Hata hivyo, mfumo huu ulikuwa na mapungufu, kama vile ugumu wa kukabiliana na mabadiliko ya uchumi na ongezeko la mahitaji ya fedha.

2. Pauni ya Uingereza:

• Pauni ilikuwa fedha inayoongoza katika biashara ya kimataifa kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia.

• Ufalme wa Uingereza ulikuwa na nguvu kubwa ya kiuchumi na kijeshi, na hii ilisaidia kuimarisha nafasi ya pauni.

• Biashara nyingi za kimataifa zilifanyika kwa kutumia pauni, na ilikuwa fedha ya akiba kwa nchi nyingi.

3. Franci ya Ufaransa:

• Franci ilikuwa fedha muhimu katika biashara ya kimataifa, hasa katika maeneo ya Ulaya na Afrika.

• Ufaransa ulikuwa na koloni nyingi, na hii ilisaidia kuimarisha nafasi ya franci katika biashara ya kimataifa.

4. Fedha zingine:

• Fedha zingine zilikuwa zikitumika katika maeneo tofauti ya dunia, kama vile Deutsche Mark ya Ujerumani, Yen ya Kijapani, na Marekani dola.

• Hata hivyo, ushawishi wao ulikuwa mdogo ikilinganishwa na pauni na franci.

Muhimu:

• Mfumo wa fedha kabla ya Vita vya Pili vya Dunia ulikuwa mgumu zaidi na haukuwa na utawala mmoja wa fedha.

• Pauni ya Uingereza ilikuwa na nguvu kubwa, lakini ushawishi wake ulianza kupungua baada ya Vita vya Kwanza vya Dunia.

• Vita vya Kwanza vya Dunia vilikuwa na athari kubwa katika mfumo wa fedha wa kimataifa, na kusababisha mabadiliko makubwa katika miaka ya 1920 na 1930.

Baada ya Vita vya Pili vya Dunia, mfumo wa fedha wa kimataifa ulibadilishwa, na dola la Marekani lilichukua nafasi ya pauni kama fedha inayoongoza duniani. Hii ilikuwa kutokana na nguvu ya uchumi wa Marekani baada ya vita na pia jukumu lake katika kuunda mfumo mpya wa fedha wa kimataifa.

Sasa kila baada ya vita kuu kupiganwa kuna kuwa na fedha mpya inaibuka na kutawala dunia. Hapa China anapasubiria sana.
 
Ukisoma komenti nyingi humu ndio utajua nchi hii Ina watu wanaojifanya wajuaji kupitiliza lakini hamna chochote vichwani mwao.
Hii ndio maana inaonesha watanzania tumezidiwana wakenya kwa mambo mengi mno.
Achilia wakenya tunaweza kua tumezidiwa hata na Wanyarwandakwa kufikiri.

Unakikita bado kinakaa kwa wazizi au wakubwa zake,ama bado kimepanga,kipo hapa hapa Tanzania ambayo inaagiza Hadi toothpick kutoka nje,Michele na sukari kutoka nje,nguo kutoka nje,vipodozi,midoli ya kuuchezea watoto na Kila kitu,Tena kutoka huko huko kwenye nchi 159 zinazotaka kujiunga na Mifumo ya BRICS.
Aisee hii nchi ngumu sana.
Unakuta kijiMtanzania chenzangu kinaidhara BRICS na nchi zilizounda umoja huo.
Wakati hicho kijimtu Kiko VICOBA ambayo hata haikuundwa Tanzania.
VICOBA ni village Cooperative banking hii ilianzishwa Asia.
Sasa najiuliza hicho kijiMtanzania kinachoiponda BRICS kinajiona kina akili kuliko wachumi wa nchi zote 159 zinzotaka kutumia Mifumo hiyo ya BRICS.?
Kinajiona kina akili kuliko wachumi wa china, Urusi,Brazil,India na south Africa.
Aisee Tanzania Ina binadamu ambao hawapatikani sehemu yoyote hapa duniani.

Kwanza Iko hivi,
Mimi sijali kama Mifumo huu utafanikiwa au hautafanikiwa.
Mimi ninachozipongeza nchi za BRICS ni kupambana kujitoa kwenye manyanyaso ya Marekani.
Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kusimangwa au kunyanyaswa na mtu juu ya huduma Fulani halafu ukaendela kua mpole TU badala ya kutafuta njia mbadala za kujinasua.
Hiyo kwa BRICS ni hatua kubwa mno.
Halafu kinachofuata ni kuboresha njia hiyo mbadala hatua kwa hatua Hadi itakapokaa vizuri.
Tuchukue mfano kwa Urusi.
Baada ya Urusi kuwekewa vikwazo watu walitaka Putin,Lavrov na waziri wa fedha wa Urusi waende Washington wakampigie magoti Biden.
Aisee Mungu aendelee kuzibariki nchi za BRICS.
Kwa kawaida mwanzo siku zote hua ni mgumu Mifumo huu utatoboa na BRICS imeshatoboa.

Urusi kiranja wao anasaka dollar kaka, we endelea kuchangia server ya JF
 
Wishful thinking, $$ haitaangushwa kwa maombi km ya mwamposa! Haijajengwa kwa vikao km vya brics imeundwa kwa jasho na damu na imechimbiwa mizizi mirefu haing’olewi kwa vikao vya kichawi
Mpaka mwaka 1990 Marekani na nchi za Magharibi zilikuwa zinamiliki zaidi ya %70 ya uchumi wa dunia lakini leo hii leo hii wanamiliki %25 tu ya uchumi wa dunia acha kukalili.
 
Sasa hivi uko sahihi, wenzio wanaangalia hatma ya vizazi vyao vijavyo, waafrika wote tuna akili kama zako mkuu😀

Kwani nimekataa mkuu? Nimesema watakuwa na tangible plan baada ya miaka 100+ ni lugha tu, hiyo miaka maana yake km ulivosema ni VIZAZI VIJAVYO. Shule tu
 
Back
Top Bottom