BRELA Mnazingua sana

BRELA Mnazingua sana

luteadam

Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
71
Reaction score
60
Siku ya jmoc niliupdate information za business name (mwanzo ilifanyika manually). Leo nimetumiwa taarifa ya kudaiwa 115,000/= km maintainance fee na hiyo ni since 1996. Hii inamaanisha kwa mwaka ni 5,000/= (its true, current price). Nimewapigia simu kujua km tangu 1996 charge ilikuwa ni hiyo hiyo wakanijibu ndio ilikuwa ni hiyo hiyo. Nashindwa kuwaamini hawa jamaa, maana sio rahisi kwa mwaka 1996 fee ikawa ni hiyo 5,000/= mpka leo. Hapa kuna namna.
 
Be serious brother. Laki moja na elfu kumi na tano ndiyo imesababisha unalialia hapa?

Don't lament but Be a problem solver.
 
Kwani wewe ulitakaje mbona unajitekenya! Ulitaka kwavile 1996 maintenance fee ilikuwa 5,000 basi baada ya hapo hiwe 10,000? Au 30,000 kila mwaka! Au unataka kujionyesha na wewe unakampuni uchwara ya kulialia na 115,000?
 
Mimi nina company ina miaka 3 nimeenda brela kutaka annual returns nilipie ili niambatanishe kwenye kuomba leseni iliyokwisha ya viwanda na biashara sasa waniambia niende kwa mhasibu nikalipie registration fee ya usajili wa company kwani haikulipiwa na mtu niliyempa kusajili kipindi hicho ila documents zote ninazo
 
Back
Top Bottom