Breakup story..!!

Breakup story..!!

I wish, she left you early enough... for you not to invest your feelings and most important TIME!
I also think so, because one of the simplest things we can do for our relationship is be proactive in managing the time we spend on ourself, being a couple, and to become a family.
 
Pole mkuu...

Hii story inafanana na stori ya ndugu na rafiki kwangu...

Okay... Girls always they think best thing is to return to their first crush. ..

Vijana especially wa kiume mimi nilikuwa naomba kile kikao chetu kiendelee, Mara nyingi tambua kuwa baadhi ya wasichana ambao waliachwa na waliowahi kuwa wapenzi wao mara nyingi hurudi kwenye nyumba waliyotokea(X) na husahau kila kitu walichowahi kuumizwa au kuumia nacho....

Mkuu, kuwa mtulivu na ikubali hiyo hali, ji keep busy baada ya mwezi au siku kadhaa utajikuta una msahau .... Usijali huwenda umeandaliwa aliyebora zaidi ya huyo....

Always God gives us what we deserve and not what we need.....
 
Ice in my veins, blood in my eyes.....

And all the bullshit just made me strong mazafanta!
 
Back
Top Bottom