Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,473
- 21,224
Hapa tunasema shuzi limempata mjambaji aiseeWatu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana
Na kufanya tukio lisilojulikana na kukimbilia kusiko julikana na mpaka sasa hakuna kinachojulikana
Na mimi sijui ninachosema
Je wewe unaelewa unachosoma ??
Mbona na wewe hujulikani? Jianaume zima linajifanya jianamke, msxcheeew!Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana
Na kufanya tukio lisilojulikana na kukimbilia kusiko julikana na mpaka sasa hakuna kinachojulikana
Na mimi sijui ninachosema
Je wewe unaelewa unachosoma ??
Bange mbaya sana!
Mkuu mimi ni mwanaumeIla wewe binti uko vizuri, hebu njoo pm nina zawadi yako huko!!!
mkuu mimi sio demuHuyu Shori ana ID nyingi; ile profile ya uchi ameiacha na sasa bangi zake zinamtuma kwingine!!
Vuta kidogo usizidishe. You are endangering your thinking abilityWatu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana
Na kufanya tukio lisilojulikana na kukimbilia kusiko julikana na mpaka sasa hakuna kinachojulikana
Na mimi sijui ninachosema
Je wewe unaelewa unachosoma ??
Mbona na wewe hujulikani? Jianaume zima linajifanya jianamke, msxcheeew!
Tatizo jua linawaka sana ukichanganya na kijiti matokeo yake ndo kama hayo.
Ohooo!Mkuu mimi ni mwanaume
Ila nimetumia avatar ya mke wangu