Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
- Thread starter
- #141
we nae,toka umempata huyo mhaya wako nitts naona umechanganyikiwa,au shauri ya 'kalufundi ka kwetu'?Unataka uje unisindikize wewe? Afu uache kufuatilia mambo ya watu manake hayakuhusu!
Mbona mie sikuulizi kama utamsindikiza yule mke wa jirani yako uliyefumaniwa nae majuzi ukasusiwa?