Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mi wa bara bana. Ugali kwa mtindi ndo menu yangu. Hivi kumbe ulinisabahi eh? Poa Kongosho wangu. Hakikisha umebakisha limbwata la kesho. Najiandaa kwa samasoti nawe jiandae kukwea.Mie nilidhani wapenda mahaba ya pwani, shurti umwamkie mwanamme.
Haya, mambo Asprin, hata kunywa hii supu ya limbwa.
Nimelitengeneza kwa usafi wote.
Ukiruka sama soti mbona huwa nafika everest.