Breaking news

Breaking news

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
43,529
Reaction score
108,779
Rais Mugabe aachia ngazi

Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.

Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.

 
RAIS MUGABE AACHIA NGAZI

Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.

Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.

MKEWE ASHASEMA YY NDIYE RAISI KWA SASA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
RAIS MUGABE AACHIA NGAZI

Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ameamua kuachia ngazi.

Taarifa za kuaminika zinasema ya kwamba Rais Mugabe aliachia ngazi leo asubuhi wakati akishuka toka kwenye ndege bila kusaidiwa na mtu yeyote.

 
Umetisha mkuu
Breaking newz niliisoma kichwa kichwa nimekuja kushtuka mwishoni.
 
Back
Top Bottom