In a normal environment, nilitegemea kabla Kawambwa hajatangaza hii scandal mkuu wa chuo awe nje ya ofisi (ajiuzulu). Nchi yoyote isiyowekeza kwenye elimu ya watu wake inajichimbia kaburi. Na Kawambwa anatakiwa atambue hili. Kurudia mwaka moja lakini kuendelea kuwa na viongozi 'hatari' kwa mustakbali wa taifa hili is totally unacceptable.
Mh. Kawambwa amesema wanafunzi wote wa UDOM walioshindwa kurudi na kufanya mitihani ya semister ya 2 wametamkiwa watarudia mwaka.......mjini shule!
Source: DK 45 ITV
Hongera waziri. Dawa ya migomo imepatikana. Wagome wengime waone.
UDOMA is one of the best unversity in subsaharan africa... but with the coming politics... itakua kitu ya ajabu
unless sababu iwe ni kwamba kuna tatizo la fweza
UDOMA is one of the best unversity in subsaharan africa... but with the coming politics... itakua kitu ya ajabu
unless sababu iwe ni kwamba kuna tatizo la fweza