njoro
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 178
- 8
mkuu unaposema katika kila jambo... wawe role model pia katika lile kundi KUBWA lisilokuwa na ajira wawe role pia eh?
asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unaposema katika kila jambo... wawe role model pia katika lile kundi KUBWA lisilokuwa na ajira wawe role pia eh?
Continue students? Siyo Continuing Students? Hata instructions mnazopewa na chuo hamzisomi nini? Kazi kweli kweli.Wadau,ule mkwara alio uchimba huyo jamaa hapo juu eti kwa continue students lazma 2lipe sehemu ya cost 2nazodaiwa ndo 2pewe bumu le2 umegonga mwamba na hatimae bumu limewekwa tangu majuzi maana wana harakati walikua waisha panga kuwasha moto mapema nxt week..God blec wanaharakat wote wa udsm nd God blec udsm...solidarity forever.
Wewe ni mmarekani? Acha kudharau watanzania wenzako