...labda M-PESA!
"Mpumbavu wewe we ulimaliza chuo gani cha kata ukashindwa kuandika iyo proposal,kama huna cha kuchangia you better mute"
Lugha za facebook hizo mkuu, vumilia utazoea tu
Hapa sio facebook, hatuuzi sura humu, ni hoja za msingi tu, hivyo vifupisho pelekeni huko facebook
Thanks MkuuSenetor uwe unaandika vizuri bana unaandika kama unamwamdikia mshikaji sms babu...
naamini pale savei mogombani bar na hill park wiki ijayo patakuwa hapashikiki,
na motel uchwara pale darajani savei kwa ndani watapata wateja sana wa short time.
someni wadogo zangu.sijasema tv za flat na na music system zitapata sana wateja afu baadae utasikia
wanataka kuandamna kisa boom halitoshi.
afu wengine ndo kabisa anahonga boom lote kwa mwenzie ambao wapo chuo kimoja na
wanapokea boom sawa.
wakiishiwa wanaanza kuiba suruali na viatu na laptops kuuza ili girlfriend asiona kaishiwa.
kazi kwenu kizazi kipya.
Na wewe ushamaliza mtihani wako wa form four?Fuateni kilichowapeleka shule wadogo zangu. Hayo mambo ya boom yapo tu! Chamuhimu ni kufaulu tu
ila soo bado lipo,kuna madogo wa 1st yr ka 2000 hawana bumu..unategemea nin hapo?
Udsm mnatakiwa kuendelea kuwa role model wa vyuo vingine katika kila jambo
Wadau,ule mkwara alio uchimba huyo jamaa hapo juu eti kwa continue students lazma 2lipe sehemu ya cost 2nazodaiwa ndo 2pewe bumu le2 umegonga mwamba na hatimae bumu limewekwa tangu majuzi maana wana harakati walikua waisha panga kuwasha moto mapema nxt week..God blec wanaharakat wote wa udsm nd God blec udsm...solidarity forever.
msukuma akipata upeo kdogo tu, ni msumbufu sana. Haya bana PAULO.
"Mpumbavu wewe we ulimaliza chuo gani cha kata ukashindwa kuandika iyo proposal,kama huna cha kuchangia you better mute"