menyidyo JF-Expert Member Oct 9, 2010 1,339 194 Mar 20, 2012 #21 teh teh angalau hapo wa tz ni ngangali
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Mar 20, 2012 #23 AshaDii said: Siamini kama imewahi tokea hii.... Huo ni moja ya mpaka ambao uko so peaceful na hao watu hujichanganya kabisa bila tatizo. Ni mpaka ambao mtu aweza vuka kwenda inchi nyingine na Migration wakakuangalia tu wapita. Sad...... I hope watarudi normal. Click to expand... Weeee........huu mpaka ni mbaya sana kwa fujo za kupigana kwa wafanyabiashara wadogo.........!! Nafikiri unaongoza!!!
AshaDii said: Siamini kama imewahi tokea hii.... Huo ni moja ya mpaka ambao uko so peaceful na hao watu hujichanganya kabisa bila tatizo. Ni mpaka ambao mtu aweza vuka kwenda inchi nyingine na Migration wakakuangalia tu wapita. Sad...... I hope watarudi normal. Click to expand... Weeee........huu mpaka ni mbaya sana kwa fujo za kupigana kwa wafanyabiashara wadogo.........!! Nafikiri unaongoza!!!