Moto ambao chanzo hakijajulikana umelipuka katika baadhi ya maduka ya soko Kigoma mjini!
Kikosi cha zimamoto na polisi wamewahi na kuudhibiti moto huo. Wenye maduka yaliyo ungua hawajapatikana.
Source: mimi mwenyewe
Ni ajabu na kweli nimeshuhudia tukio hilo na nilicho jifunza na kwamba wananchi hawa taadhari yeyote na uwelewa wa madhara yanayoweza kutokea.Watu wengi walijikusanya karibu na moto huo pasipo taadhari na kwa kipindi kirefu hapakuwa na mtu wa kuwapa taadhari ya kuwa mbali na eneo hilo ili kuepusha madhara ambayo yangeweza kutokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.